Tuesday, May 10, 2011

FLAVIANA ANATOKA NA MMILIKI WA PHAT FARM..??

Kuna mtandao mmoja huko marekani umeandika kuhusu uhusiano wa mwanamitindo kutoka Tanzania FLAVIANA MATATA na aliekuwa mume wa Kimora Lee RUSSEL SIMONS ambae ni mmoja kati ya mafounder wa hip-hop label ya DEF JAM records na pia ni creator wa clothing fashion line yaPHAT FARM. Flaviana akiwa na Russel Simmons
Russel Simons

Huyu ndio Russel Simons mwenyewe ambae INASEMEKANA yuko na uhusiano wa kimapenzi na Flaviana kwa sasa..
Alizaliwa 4th October 1957, ni mtu anaeheshimika sana huko America na ana mchango mkubwa sana katika muziki wa hip hop.
na inasemekana anapenda sana kudate Models kwani hata aliekuwa mke wake (Kimora lee) ambae ni mmiliki wa Baby phat ni model.
KIMORA LEE (4th May 1975)
Russel Simons alikutana na model kimora lee mwaka 1992 katika New York Fashion Week ambapo waliweza kuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka sita na hatimae wakafunga ndoa December 20 1998.. na March 2006 walitangaza kutengana kwao hatimae January 2009 walipeana talaka moja kwa moja

Aliyekuwa mke wa Russel Simons, anaitwa KIMORA LEEKabla ya kutengana walifanikiwa kupata watoto wawili wa kike pamoja ambao ni Ming lee aliezaliwa January 21st 2000 na mwingine aliezaliwa 2002 August anaeitwa Aoki lee.. na watoto wao wote ni mamodel wa BABY PHAT kids collection.
Flaviana Matata akiwa na Russel Simons

Bado haijajulikana kama hii habari ni kweli ama la..
Ila ntajitahidi kumtafuta Flavy atuelezee ukweli wa hii habari.

No comments: